ASALAAM ALAYKHUM ANKAL,
POKEA TAARIFA KAMILI ZA MISHAHARA YA VIGOGO WA MAREKANI NA MAJUKUMU YAO. HIYO NI TOP TEN YA MISHAHARA YA SERIKALI. JE, SERIKALI YETU INAWEZA WEKA WAZI MISHAHARA YA VIGOGO WAKE NA RAISI AKIWEMO?
HABARI KAMILI BOFYA HAPA
MDAU WA MTWARA
POKEA TAARIFA KAMILI ZA MISHAHARA YA VIGOGO WA MAREKANI NA MAJUKUMU YAO. HIYO NI TOP TEN YA MISHAHARA YA SERIKALI. JE, SERIKALI YETU INAWEZA WEKA WAZI MISHAHARA YA VIGOGO WAKE NA RAISI AKIWEMO?
HABARI KAMILI BOFYA HAPA
MDAU WA MTWARA
Tehe tehe mtwara wamo sio?
ReplyDeleteIt will take time for our government to expose such a big secret of huge earn.
ReplyDeleteMdau Fin
Habari hizi za kweli duh kuna watu wanakula maisha hapa dunianai bwana ukweli mungu akikupa kakupa tu acha sisi tuvimbe macho. yaani fulll kuchakachukiwa kila kukicha hahahahahaaa yaani vigogo wetu waweke hadharani wizi maana mishahara hiyo si ya halali? wetu wanalipwa kigodo lakini wanachochapa kinazidi hata hichi cha marekam
ReplyDeleteni
I would like to know more about this source ya habari hizi ni wapi tupashane wadau. Je ni mishahara ya marekani tu au hata nchizingine pia manaijua mishahara hii pls tupeane habari.
ReplyDeletemdau German
Mmmh! nina wasiwasi vigogo wetu wa ikulu wakiona izo figure nao watajitengenezea viwango kama ivyo vya USA.
ReplyDeleteuncle naomba uniwekee msaada tutani.
ReplyDeletekwanza nianze kukupongeza kwa kazi nzuri ya kuhabarisha jamii. ninaomba kutoa tahadhari kwa wenye magari jijini dar es salaam. hivi sasa kumetokea tabia ya kuwepo kwa vijana ambao husafisha vioo vya magari yanapokuwa kwenye foleni na kisha kudai sh 100. watu wengi huwakatalia watoto hao na kuondoka lakini hv sasa watoto hao wamebuni njia ya kupambana na hali hiyo ambapo unapomkatalia asisafishe hulazinisha kusafisha na unapoamua kuondoka bila kulipa hunyofoa sidemirrow au wiper akishindwa basi angalau hukwaruza rangi ya gari kwa kitu chenye ncha kali ilikuchora msitari. Kwa taarifa hii nina watahadharisha wenye magari wanapokutana na vijana hao lakini pia kuomba mamlaka zinazohusika kushughulikia sual hilo mapema iwezekanavyo kwani tunakoelekea ni kuvunjiwa vioo.
Tafuta Waraka wa serikali katika ngazi za kazi unazotaka utapata taarifa zote. Waraka sio siri. Hata hivyo hiyo itatusaidia nini? Maana sijui huko marekani, Viongozi wetu hususan wakubwa hawategemei sana mishahara kwa maisha yao ya sasa wala ya baadae
ReplyDeleteHata huko Marekani, hii habari imefichwa mambo mengi tu ambayo viongozi hao wanapata marupurupu mengi tu ambayo kwa mleta taarifa kasema nisiri kwa uslalama wa nchi na wahusika.
ReplyDeleteMshahara si issue. Issue ni extra income. Mishahara ya vigogo wetu mbona ni ya kawaida sana. Suala ni kama wana cash balance na mali kiasi gani kwani ni wala rushwa wakubwa
ReplyDelete