Picha na Mbeya Yetu Libeneke dada la Globu ya Jamii
Picha na Mbeya Yetu Libeneke dada la Globu ya Jamii
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
dah!hii sasa kali, kwani kila kukicha anaibuka nabii mpya mwenye kikombe.ila swali moja najiuliza ,kwani hao manabii ni wanaume tu? huyu mungu anaubaguzi au ? oh1 sorry nilisahau yule mwanamke wa tabora,anyway kama mungu ameamua kutupendelea watanzania vile, ni mtizamo 2
ReplyDelete...the hopeless society of Tanzanians...trully we are back 200 years compared na wenzetu...
ReplyDeleteIpo siku mwendawazimu atasema 'ameoteshwa' kuchanganya mavi ya binadamu na maji iwe dawa ya UKIMWI na watu watajaa kupata kikombe
ReplyDeletei dont reaaly blame them kama serikali imeruhusu why not. pesa ya haraka haraka hapo. tuitakula wapi?
ReplyDeletehii inaonyesha jinsi serikali imeshindwa kuwapa wananchi huduma bora za hospitali. Watu wanakimbilia kwenye hivi vikombe viwe salama au si salama. Mungu ibariki Tanzania
ReplyDeleteHeadache
ReplyDeletena mimi uncle na dawa yangu sitozi shilingiiiii.! ila mimi sio nabiii.
ReplyDeleteHivi! Hawa watu wanaoibuka sasa hivi na tiba ya vikombe wakikuwa wapi siku zote? Hii inadhiirisha wazi kuwa wanaiga tu kwa sababu kwa nini wanatumia vikombe kama babu loli??? Aah! Huu ni upumbavu.
ReplyDeletehii sasa wanataka kuanza mambo ya udini kwa vile aligundua dawa mkirsto na sasa mwiislam wanataka kupima kama serikali itawakataza waanze mambo yao ya udini tuombe mungu atusaidie na kulijua hili maana sisi binadamu ni vigumu kuelewa hizi ni nyakati za mwisho majaribu ni mengi sana
ReplyDeleteI call it,
ReplyDeleteTHE JOHN MASHAKA epidemic!!!