Suzy akiwa na Maria
Mzaham na Jamil
kwa picha zaidi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 03, 2011

    Hi mitindo Hafai Seattle Most of the time nimvia na baridi, na wa-Africa hapa America hawavai nguo za kwao, utawakuta na Nike,addas, shopping ni Walmart, JCPenny, Ross, maces etc. Huyu mwana mitindo ametageti pabaya angefanyia lets say katika chuo hapa UW siku ya utamaduni angeuza vibaya Sana. Na wanunuzi si wabongo. Mama mumjoa toka Rwanda alionyesha mavazi na had made arts crafts aliuza $7,000 one night. So I suggest you do your homework on who to target, Wabogo hujaa kwenye minuso kama hii basi…. Haya maoni yangu

    ReplyDelete
  2. Hiyo picha ya pili toka chini na we Michuzi unakuwa kama sio Mwandishi Mkongwe aliebobea bwana!?

    Sasa unaposema tu Suzi na Maria bila kuelezea kama yupi ni yupi alie kushoto au kulia, sie tutajuaje yupi ni yupi?

    Wacha hizo Mwanangu!

    ReplyDelete
  3. Nimeipenda hii nguo, picha ya tatu kulia, kitenge alichovaa mdada chenye picha ya baba wa taifa...Au ndio vazi la Taifa?!

    Vizuri sana

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 03, 2011

    Je nguo za ufukweni za kanga zipo?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...