Mbwana Matumla akikabidhi mkanda wake mara baada ya kumchapa Gabriel Ochueng wa Kenya wakati wa pambano lake la kugombania ubingwa wa UBO Mbwana alishinda kwa pointi wakati wa pambano ilo la ubingwa wake lililipigwa raundi 12 na kufanikiwa kumnyuka mkenya huyo.
Home
Unlabelled
MBWANA MATUMLA AMCHAKAZA MTANI WA JADI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...