Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,Dr Haji Mponda akizindua Dawa mseto ya Malaria katika Hotel ya CourtYard mjini dar es salaam.Dawa hii ambayo imeithinishwa na wizara ya Afya itumike kwa ajili ya kutibu malaria na kupewa bei punguzo na inapatikana hapa nchini katika maduka yote ya dawa mjini na vijijini.
Msanii Mrisho Mpoto akielimisha jamii kuhusu dawa hiyo katika uzinduzi .
Waziri wa Afya akionge na waandishi wa habari mara baada ya kuzindua dawa mseto ya malaria
Waziri akipiga picha na viongozi mbalimbali wa Wizara ya Afya na wadau mbalimbali wa malaria waliohudhuria
wasanii wakitumbuiza na kuonyesha Dawa mseto ya malaria kuwa inapatikana kwenye maduka mbalimbali ya dawa hapa nchini kwa bei punguzo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hongera sana Bwana maarifa kwa hiyo Dawa.

    Mbona sasa huku kwetu Nanjilinji dawa hiyo haijafika

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...