Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohamed Gharib Bilal, akisikiliza maelezo ya Meneja wa Shirika la Umeme la Pemba, Salum Masoud Saleh (kushoto), wakati alipotembelea shirika hilo lililopo eneo la Wesha, kwa ajili ya kukagua mitambo ya kuzalisha umeme, akiwa katika ziara yake ya kukagua maendeleo ya miradi ya Serikali mikoa ya Kaskazini na Kusini Pemba jana Mei 17, (katikati) ni Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba, Juma Kassim Tindwa. Dkt. Bilal kesho Mei 19, anatarajia kuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za maadhimisho ya Siku ya wauguzi zitakazofanyika kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohamed Gharib Bilal, akisikiliza maelezo ya Meneja wa Shirika la Umeme la Pemba, Salum Masoud Saleh (kulia) , wakati alipotembelea shirika hilo lililopo eneo la Wesha, kwa ajili ya kukagua mitambo ya kuzalisha umeme, akiwa katika ziara yake ya kukagua maendeleo ya miradi ya Serikali mikoa ya Kaskazini na Kusini Pemba jana Mei 17, (kushoto) ni Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba, Juma Kassim Tindwa. Dkt. Bilal kesho Mei 19, anatarajia kuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za maadhimisho ya Siku ya wauguzi zitakazofanyika kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohamed Gharib Bilal, akisikiliza maelezo ya Meneja wa Shirika la Umeme la Pemba, Salum Masoud Saleh (kushoto), wakati alipotembelea shirika hilo lililopo eneo la Wesha, kwa ajili ya kukagua mitambo ya kuzalisha umeme, akiwa katika ziara yake ya kukagua maendeleo ya miradi ya Serikali mikoa ya Kaskazini na Kusini Pemba jana Mei 17, (kulia) ni Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba, Juma Kassim Tindwa. Dkt. Bilal kesho Mei 19, anatarajia kuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za maadhimisho ya Siku ya wauguzi zitakazofanyika kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini.Picha na Muhidin Sufiani-OMR



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...