Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya simu ya Airtel Tanzania,Sam Elangallor akitoa ufafanizu wa Kampuni yake kwa Wabunge wa Kamati ya Miundombinu (hawapo pichani) waliotembelea leo makao makuu ya Kampuni hiyo ili kufahamu mambo mbali mbali yafanyikayo hapo.
Mwenyekiti wa Kamati ya Miundombinu ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mh. Peter Selukamba akizungumza na Mkurugunzi wa Mahusiano wa Kampuni ya Simu ya Airtel,Beatrice Singano mara baada ya kumalizika kwa mkutano uliowakutanisha viongozi wa Kampuni hiyo na Kamati ya Miundombinu leo katika makao makuu ya kampuni hiyo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel,Sam Elangallor pamoja na Mkurugenzi wa Mahusiano wa Kampuni hiyo,Beatrice Singano wakizungumza na Mjumbe wa Kamati ya Miundombinu ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Tunduru Kaskazini,Eng. Rambo Makani (kulia) mara baada ya mkutano wao uliomalizika mchana huu katika ukumbi wa mikutano wa Kampuni hiyo.kwa picha zaidi



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...