Timu ya Taifa ya Vijana U-23 kabla ya kuingia uwanjani kukipiga na timu ya mkoa wa Kilimanjaro kwenye mechi ya ufunguzi ya Kili Taifa Cup muda mfupi uliopita mjini Moshi
Kaimu mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Meja Jenerali Said Kalembo akisalimiana na wachezaji wa timu ya taifa ya vijana U-23.
Kaimu mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Meja Jenerali Said Kalembo
akisalimiana na wachezaji wa timu ya Kilimanjaro
Timu ya Kilimanjaro na Vijana U-23 kabla ya kipute kuanza
Timu ya mkoa wa Kilimanjaro.
Picha na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii, Moshi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 07, 2011

    Hii ndiyo shughuli ya kufanya ili kuendeleza soka nchini kwetu na siyo upuuzi wa kuiga timu za ulaya ambapo ni kupoteza muda bure.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...