

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Kamanda! nahisi kichwa cha habari kimekosewa.... "BUNGUNI DODOMA LEO''' nahisi ulikuwa na maana .."""BUNGENI DODOMA LEO""" au?
ReplyDeleteNchi za Kenya, Uganda na Rwanda Bajeti zao zinasikika moja kwa moja kwenye Mtandao. sisi Watanzania hatuna hata TV au Redio inayosikika "LIVE" kwenye mtadao AIBU sana hii.
ReplyDeleteMagulu
Germany
MAgulu Aibu na wala sio ndogo tutabakia kuwa omba omba kama matonya
ReplyDeleteDuh,Kumbe Mheshimiwa Mrema bado dawa ya Babu(Loliondo) haijamsaidia,maana naona bado ngozi haijakaa sawa.Tuzidi kuomba kwa Mungu amjalie Mh.Mrema apone.
ReplyDeleteAs ante mdau nimerekebisha
ReplyDeleteKwani Mrema hayuko kwenye upinzani tena?
ReplyDeleteAnon Magulu usikonde google clouds fm mimi nimesikiliza bajeti yote. Na nipo Denmark pia wameshaanza live tv yao japo kwikwi kidogo lakini nawapa big5. Redio ni moja tu Tanzania CLOUDS FM. Unajua serikali imebanwa na haka kamuda subiri mpaka uchaguzi ujao upite ndio utapata National TV mtandaoni
ReplyDelete