THE LATE HAPPINESS G. NAKAJUMO

God saw that you were getting tired,A cure was not to be. So He put His arms around you and whispered, "Come with Me." With tearful eyes, we watched you suffer, And saw you fade away. Although we loved you dearly,We could not make you stay. A golden heart stopped beating,Hard working hands to rest.

God broke our hearts to prove to us

He only takes "the best".

In our hearts will keep you forever till we meet again!
You are being missed by your sisters,brothers,uncles,aunt,nieces and nephews,Your granchildren and all friend! 
MAY YOUR BEAUTIFUL SOUL REST IN AN ETERNAL PEACE HAPPINESS!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 12, 2011

    Du! masikini hiyo picha imenifanya nitoke na chozi, nakumbuka ucheshi wako,na tabasamu lako wakati ulipokuwa nasi huku UK kabla hujarudi nyumbani Tanzania, hakika tulikupenda lakini Mwenyezi Mungu alikupenda zaidi, R.I.P dada Happy.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 12, 2011

    Poleni sana familia ya Nakajumo. Happy nilimfahamu tukiwa tunasoma Jangwani High school na kuishi Jangwani hostel miaka ya late 80s. Nikaonana nae akiwa anafanya kazi ubalozi wa Norway miaka ya karibuni, akanishughulikia visa application yangu successfully. She was one of the few very bright girls, who excelled exceptionally in academics. She was a leader too! She was polite and very easy to talk to. Rest in peace Happy. We will always remember you!

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 12, 2011

    Minaki Street Magomeni tunakukumbuka kwa ucheshi wako na mapenzi yako kwa watu, R.I.P dada Happy.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...