THE LATE HAPPINESS G. NAKAJUMO
God saw that you were getting tired,A cure was not to be. So He put His arms around you and whispered, "Come with Me." With tearful eyes, we watched you suffer, And saw you fade away. Although we loved you dearly,We could not make you stay. A golden heart stopped beating,Hard working hands to rest.
God broke our hearts to prove to us
He only takes "the best".
In our hearts will keep you forever till we meet again!
You are being missed by your sisters,brothers,uncles,aunt,nieces and nephews,Your granchildren and all friend!
MAY YOUR BEAUTIFUL SOUL REST IN AN ETERNAL PEACE HAPPINESS!



Du! masikini hiyo picha imenifanya nitoke na chozi, nakumbuka ucheshi wako,na tabasamu lako wakati ulipokuwa nasi huku UK kabla hujarudi nyumbani Tanzania, hakika tulikupenda lakini Mwenyezi Mungu alikupenda zaidi, R.I.P dada Happy.
ReplyDeletePoleni sana familia ya Nakajumo. Happy nilimfahamu tukiwa tunasoma Jangwani High school na kuishi Jangwani hostel miaka ya late 80s. Nikaonana nae akiwa anafanya kazi ubalozi wa Norway miaka ya karibuni, akanishughulikia visa application yangu successfully. She was one of the few very bright girls, who excelled exceptionally in academics. She was a leader too! She was polite and very easy to talk to. Rest in peace Happy. We will always remember you!
ReplyDeleteMinaki Street Magomeni tunakukumbuka kwa ucheshi wako na mapenzi yako kwa watu, R.I.P dada Happy.
ReplyDelete