Maonyesho ya 35 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (DITF) yameanza rasmi jijini Dar es Salaam leo huku baadhi ya mabanda yakiwa katika hatua za mwishomwisho za kupanga bidhaa zao. Akizungumza na Waandishi wa habari jijini Dar es Salam, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TANTRADE), Ramadhan Khalfan amesema kuwa maonyesho ya mwaka huu yatakuwa katika ubora wa hali ya juu kutokana na maboresha waliyoyafanya.
 Bidhaa zikiletwa maoneshoni
 Baadhi ya wafanyabiasha wakiingiza bidhaa zao katika viwanja vya Maonyesho vya Mwalimu Nyerere Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.


 Wananchi wakiwasili uwanja wa maonesho 
 Baadhi ya wafanyabiashara wakiendelea kupanga vizuri bidhaa zao 
Maandalizi ya mwisho mwisho. Picha na Francis Dande wa Globu ya Jamii

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 28, 2011

    asante sana michuzi kwa hizi picha. nashukuru kwa kutuonyesha some of the things being displayed at the show. hilo jiko hapo chini ni lizuri. naona watanzania hatuna haja ya kununua some of these things overseas. sikujua vitu kama hivi vinaweza kupatikana nyumbani. michuzi endelea kutuonyesha more products.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 29, 2011

    kweli, vitu vipo nyumbani, pesa yako tu

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 29, 2011

    Michuzi naomba utuwekee contacts za hawa jamaa wa majiko, ili tuweze kuwasiliana nao.


    Mdau Richie

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...