Wapenzi Wasomaji wetu wa MOBLOG, Tunasikitika kuwa hatutakuwa hewani kwa kipindi kifupi tu kuanzia sasa kutokana na Tatizo lililokuwa nje ya uwezo wetu ambalo linashughulikiwa .
Tunawaomba Radhi kwa usumbufu wowote utakaojitokeza . Asanteni kwa uvumilivu wenu.
MOBLOG TEAM.
Regards,
Zainul A. Mzige,Operation Manager,
MO BLOG,
+255714940992.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...