Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiwaonyesha waheshimiwa wabunge Kombe ambalo Ofisi ya Bunge imeshinda katika Maonyesho ya wiki ya Utumishi wa Umma yaliyofanyika jijini Dar es Salaam kwa kushirikisha taasisi mbalimbali za Umma kutoka barani Africa na kufikia kilele wiki iliyopita tarehe 23 Juni, 2011. katika Maonyesho hayo Ofisi ya Bunge imekuwa mshindi wa Pili katika nafasi ya banda bora kwa utoaji bora wa huduma hususani katika kuelezea Kazi za Bunge, Muundo wake, Mamlaka ya Bunge nk. Shoto ni Kaimu  Katibu wa Bunge Bw. John Joel. 
Picha na mdau Owen Mwandumbya wa Bunge

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 28, 2011

    Jamani sasa tuleteeni picha za taasisi ambayo ilikosa kikombe.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...