Maharusi Barke na Abdulhalim wakijidai wakati wa mnuso wao hoteli ya Movenpick jijini Dar usiku wa kuamkia leo baada ya kumeremeta Ijumaa iliyopita. Wote wanaishi Uingereza
 Maharusi wakipozi kwa furaha
 Mamaa'ke Bi harusi Asia Idarous-Khamsin na mumewe Bw. Khamsin (shoto) na mama yake Khamsin (wa pili shoto) na shangaziye bi harusi na ankal
Mamaa'ke bi harusi na wapambe wa Bi harusi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Yusufubu..July 25, 2011

    mabrooouk Mr & Mrs Abdul Sebo mungu awape maelewano inshallah....!!

    Welcome to the world bruv......

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 25, 2011

    Biharusi Maashallah umependeza siyo maskhara. Mwenyezi Mungu awajaalie iwe ndoa ya kheri na baraka tele.

    Ila hina na wanja vimeniwacha hoooooi. Wapi naweza kumpata huyo mpakaji hina jamani nina harusi ya binti yangu Inshallah Mfungo mosi.

    All the best.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 25, 2011

    Nammimi nipo mawasiliano ya hawa waliovaa sare nao niwachumbie wote nimewapenda

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 25, 2011

    Ankal ! hapo kwenye bega kuna mkanda mweusi ? vipi?
    kila unapokwenda na silaha yako? te!te!

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 25, 2011

    asante michuzi picha nzuri ya harusi maarusi wamependeza sana kwa ujumla hii harusi bab kubwa safii sana mimi nilikuwa na swali huyu mama idarous nina maana mama yake na bibi harusi nikabila gani mbona kama anamchanganyiko na wahindi au wasamali wadau mnaomjua huyu mama vizuri mnifahamishe ni kwa nia nzuri mbarikiwe wote

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...