Maelefu ya washabiki mjini Frankfurt wanatarajiwa kuvaana uso kwa uso,jino kwa jino na bendi maarufu ya muziki wa dansi barani Ulaya"Ngoma Africa band" katika onyesho kubwa la kimataifa la "Africa &Carebbean Festival,litakalo fanyika katika viwanja vya Robestock Park,mjini Frankfurt,Ujerumani siku ya Jumamosi 6.08.2011,ambako kamanda Ras Makunjawa FFU ataongoza kikosi chake jukwaani,bendi hiyo yenye utajili wa washabiki na wanamzikiwenye vipaji miongoni mwao akiwemo mpiga solo gitaa Chris-B. Ngoma Africa band hivi sasa wanatamba na nyimbo yao mpya ambayo ni zawadi ya miaka 50 uhuru,nyimbo hiyo "Bongo Tambarare" inasikika katika kambi ya FFU
at www.ngoma-africa.com au http://www.ngoma-africa.com
at www.ngoma-africa.com
wachizani wetu ffu,hakuna kupumzika mpaka kieleweke..
ReplyDeletesupu ya mawe kwa wingi,ligwaride bila mdhaa
hiiiiiiii! kikamanda ketu ras makunja na kikosi ffu aka ngoma afrika aka watoto wa mmmbwwwwwa kila anayepita mbele mna´mbwakia wuh wuh wuh kazi yenu nzuri tunaikubali japokuwa watoto wa mbwa hawabebeki ktk pakacha
ReplyDelete