Mbunge wa Tabora mjini Mh. Ismail Aden Rage akisakata rhumba na
mheshimiwa mwenzie kwenye hafla hiyo
| Mkurugenzi wa Vodacom Tanzania, Dietlof Mare akitambulishwa kwa Mbunge wa Bumbuli Mh. January Makamba na dada yake Mwamvita Makamba |
Mkuu wa Kambi ya Upinzani, Bungeni, Freeman Mbowe na Mkurugenzi wa Vodacom Tanzania Dietlof Mare wakiteta jambo wakati wa hafla hiyo
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Dietlof Mare wakiteta jambo
Afisa Mkuu wa Masoko na Mahusiano wa Vodacom, Mwamvita Makamba (katikati) akijumuika na baadhi ya wabunge kucheza mziki wakati wa hafla hiyo
MKurugenzi wa Vodacom Tanzania,Dietlof Mare akiteta jambo na Balozi wa jumuia ya Ulaya Tim Clark
Mkurugenzi wa Vodacom Tanzania, Dietlof Mare akicheza Kwaito na baadhi ya wabunge wakati wa hafla hiyo



Wewe anony wa kwanza acha hizo fasihi za kitoto.Siyo vizuri
ReplyDeleteDavid v
Duuh Freeman umri unakwenda!
ReplyDelete