Vodacom Miss Eastern Zone 2011, Loveness Flavian (katikati) akipunga mkono akiwa katika picha ya pamoja na mshindi wa pili, Asha Saleh (kushoto) na Mariaclara Mathayo aliyeshika nafasi ya tatu, baada ya warembo hawa kutangazwa washindi wa shindano hilo. Loveness aliwashinda warembo wengine 10 usiku wa kuamkia leo Morogoro.
Mshirki wa shindano la Vodacom Miss Kanda ya Mashariki, Rahma Swai akijinadi jukwaani mbele ya majaji na mashabiki na kivazi cha ubunifu.
Mshirki wa shindano la Vodacom Miss Kanda ya Mashariki, Ritha Kavishe akijinadi jukwaani mbele ya majaji na mashabiki na kivazi cha ubunifu.
 Vodacom Miss Kanda ya Mashariki 2011, Loveness Flavian akijinadi jukwaani mbele ya majaji na mashabiki na kivazi cha ubunifu.
Picha ya pamoja ya warembo wote wanaowania taji la Vodacom Miss Kanda ya Mashariki wakiwa katika picha ya pamoja na vazi lao la ubunifu.
Warembo waliofanikiwa kuingia hatua ya 5 bora ya Vodacon Miss Kanda ya Mashariki. Kutoka Kulia ni Ritha Kavishe, Rahma Swai, Mariaclara Mathayo, Loveness Flavian na  Asha Saleh.
Ibrahim Kaude kutoka Vodacom akipokea Cheti cha shukrani kwa udhamini wa shindano hilo. Aliyekuwa akimkabidhi ni Vodacom Miss Tanzania 2010, Genevieve Mpangala.
Mwanamuziki wa Bongo Flava Dully Sykes akitumbuiza katika shindano hilo.
Warembo wakipita jukwaani na vazi la ufukweni katika shindano la Vodacom Miss Kanda ya Mashariki.  Kutoka kushoto ni Rahma Swai, Winifrida Gration na Thureya Dabas.
Warembo wakipita jukwaani na vazi la ufukweni katika shindano la Vodacom Miss Kanda ya Mashariki.  Kutoka kulshoto ni Asha Iddy, Ritha Kavishe na Mariaclara Mathayo.
Washiriki wa shindano la Vodacom Miss Kanda ya Mashariki wakicheza show ya ufunguzi wa shindano hilo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 23, 2011

    Hongera washiriki wote..kwakweli mlipendeza ila lazima mshindi apatikane,Hongera Love.Ila wewe Mariaclara una macho ya 'kutega'!

    David V

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 23, 2011

    Miss Kanda ya Mashariki mzuri maashallah lakini aangalie weight yake maana naona kidogo yuko above average.

    Hapa bongo ni sawa lakini akifanikiwa kwenda huko nje atajikuta na tatizo la uzito.

    Just thinking aloud!

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 25, 2011

    mmh hongereni washindi bt no 9 mbona ajashinda jaman!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...