katibu tawala wa mkoa wa Kagera,Nassor Mnambila akiwahutubia madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Misenyi wakati wa kikao cha baraza la madiwani kilichofanyika jana katika ukumbi wa vijana.
katibu tawala wa mkoa wa Kagera Nassor Mnambila (mwenye suti Nyeusi) akiwa anasikiliza kwa makini hoja zilizokuwa zinatolewa na madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Misenyi wakati wa kikao cha kawaida cha baraza la madiwani wa halmashauri hiyo kilichofanyika kwenye ukumbi wa vijana ulioko katika mji mdogo wa Kyaka,Mkoani Kagera. wa mwisho kulia ni mwenyekiti wa hakmashauri hiyo William Katunzi, wa pili kulia ni mkurugenzi mtendaji Isaya Mbenje na wa pili kushoto ni mkuu wa wilaya ya misenyi kanali mstaafu Issa Njiku.
baadhi ya madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Misenyi wakisikiliza kwa makini hotuba iliyokuwa inatolewa na katibu tawala wa mkoa wa kagera,Nassor Mnambila.Picha na Audax Mutiganzi,Misenyi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 28, 2011

    Du! Nimeipenda, sana imenikumbusha kyaka bulifani shule ya msingi.Taaluma ya habari oyyeeeeee nawapongeza sana bila ninyi kule kyaka, kagango, kasambya, bunazi, kyempili, gabulanga pasinge................ ktka anga hizi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...