Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Anne Makinda(aliyevaa kitenge) alisalimiana na Meneja wa Shule hiyo, Sankarapandi Sivaraman (ayelie na asili hya kihindi) katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma leo.
Mbunge wa Jimbo la Monduli, Edward Lowassa(kulia) akibadilishana mawazo na Mbunge wa Arusha, Godbless Lema (kushoto) na Mbunge wa Jimbo la Mbozi Magharibi, David Silinde(katikati)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Mahusiano na Utatibu), Stephen Wassira (kukulia) akibadilishana mawazo na Mbunge wa Jimbo la Manyoni Mashariki , John Chiligati( kushoto)i kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma leo .
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia,Profesa Makame Mbarawa(kushoto) akipongezwa na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Dk. Florens Turuka(kulia) mara baada ya kuwasilisha hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya fedha kwa mwaka 2011/2012 Bugen mjini Dodoma .Katikati ni Naibu Waziri wa wizara hiyo,Charles Kitwanga.
Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Dk. Emmanuel Nchimbi(kushoto) akizungumza na Mbunge wa Jimbo la Mbozi Magharibi David Silinde (katikati) na Mbunge wa Jimbo la Arusha Godbless Lema (kulia).Picha na Magreth Kinabo - MAELEZO.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 14, 2011

    Hon. Lowassa for President 2015!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...