KUSHOTO NI BINGWA WA UBO ANAYETETEA MKANDA WAKE MBWANA MATUMLA NA KULIA NI MPINZANI WAKE FRANCIS MIYEYUSHO HAPA NI BAADA YA KUSAINI KUPAMBANA TAREHE OKTOBA 30, 2011 KATIKA UKUMBI WA  DIAMOND JUBILEE HALL JIJINI DAR.KATIKATI NI MKURUGENZI WA  DARWORLD LINKS LTD AMBAO NI WAANDAAJI WA PAMBANO HILO MODDY BAWAZIR

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 25, 2011

    Big up kaka Bawazir naamini sasa ngumi zimepata mjua burudani.Ni pambano la kufa mtu nani asiyejua? ankali unatisha.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 25, 2011

    hahahaha bongo bwana hadi raha eti miyeyusho hapo bingwa ni huyo matumla

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...