Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai, akifurahia jambo na Spika wa Malawi Mhe. Henry Chimuntu Banda mara baada ya kumaliza kikao cha kwanza cha kamati tendaji ya Chama cha Wabunge wa Jumuiya ya Madola (CPA) kilichoanza jana Jijini London Uingereza.
Naibu Spika Mhe. Job Ndugai, akimkabidhi Katibu Mkuu wa CPA Dkt. William Shija zawadi ya Crystals yenye Picha ya Mlima Kilimanjaro
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...