Sehemu ya shopping mall ya Quality Centre iliyoko barabara ya Nyerere road jijini Dar ambayo inasemekana ni kubwa kuliko zote nchini na East Afrika Mashariki. Imefunguliwa wikiendi hii. Mlimani City kaeni mkao wa kula maana mshindani wenu keshapatikana. Hayo mambo ya kuibiwa magari na vitu kwenye hayo magari angalieni yatafukuza wateja hapo. Mie simo...
 Ankal akitoka window shopping ya nguvu Quality Centre leo
 Savannah Lounge imefunguliwa Jumamosi usiku. Ni balaa
 Mambo ya Savannah Lounge
 Lemon Tree ipo kutoa huduma ya mgahawa
 Lemon Tree Restaurant
 Sehemu ya ndani ya Quality Centre
 Mambo si ya kawaida humo ndani...
 Maduka kibao ya kila aina
 Ngazi mbili
 Quality Centre
 Supermarket maarufu toka kwa watani wetu wa jadi, UCHUMI, ndani
Parking ya kumwaga na salama

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 04, 2011

    Imekuwa ni vyema kwani itatupunguzia safari za kwenda Mlimani City sie kina yakhe wa Temeke na Ilala. Vitu hivi vilipaswa kuwepo kila eneo angalau kila wilaya ziwepo tatu au mbili kwani hata movie lazima tukaangalia Mlimani City ikiwepo huku kule hatuendi ng'o.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...