Rais Jakaya Kikwete (Kulia) akijiandaa kuzungumza na viongozi wa dini kutoka Jukwaa la 
Wakristo Tanzania (TCF) kwenye ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam Ijumaa hii
 Rais Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa madhehebu ya Kikristo Tanzania baada ya kikao chao kilichofanyika katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam. Ijumaa. Kulia kwa Rais ni Waziri wa Nchi Ofisi ya rais anayeshughulikia mahusiano na Uratibu Mhe. Steven Wassira.  

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 23, 2011

    Big up Mr. President, we love you and wish you best for your service. Mungu ibariki Tanzania.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 23, 2011

    Haya natumaini nyie viongozi wa dini mlitumia hiyo nafasi kumuuliza kuhusu alivyowasema mnajihusisha na madawa ya kulevya. Au mlimuogopa? Mngempa ile ultimatum yenu au mngemwambia kuwa ile ultimatum mliyompa ya masaa 48 awataje wahusika vinginevyo (sijui mngemfanya nini)imeishapita.

    Mkikutana naye uso kwa uso hamusemi akiwapa kisogo mkapewa maiki tu mnajifanya mkuu juu yake! Hatukatai kosoeni lakini mufanye kwa heshima na staha huyo ni kiongozi wa nchi!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...