Ankal akitoa heshima zake kwenye mnara wa Waziri Mkuu wa Zamani Hayati Edward Moring Sokoine uliojengwa karibu na mahali alopopatia ajali na kufariki dunia mwaka 1984 maeneo ya Wami Sokoine kilomita kadhaa kuitoka mjini Morogoro
 Mdau Alvar Mwakyusa wa Daily News akisoma nyadhifa mbalimbali alizoshika Hayati Sokoine
 Ankal akipozi na Mbunge wa Rufiji Dkt Seif Rashid walipokutana maeneo ya Gairo wakinunua mahitaji mbalimbali
 Ankal akipakia kago baada ya kununua toka kwa wadau wa Gairo
 Wafanyabiashara wa Gairo
Ankal akiwa kazingirwa na wafanyabiashara wa Gairo wakiuza vitunguu, nyanya, viazi ulaya na vitamu, miwa na kadhalika kwa bei ya shambani. Hapo unaondoka na debe l;a maharage kwa shilingi 5,000/-  na vitunguu ndoo ni sh 2,000/=

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. happy B/DAY MICHUZI.Mungu Akubariki.

    ReplyDelete
  2. Gairo biashara ya maharagwe ni ya kihuni. juu wanaweka maharagwe mazuri chini mbovu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...