Dala dala za mkoani Mbeya zimepandisha nauli kutoka sh 300 mapaka sh 1000 kituo hadi kituo kutokana na sababu ya kukosekana kwa huduma ya mafuta katika vituo vyote vya mjini mbeya,hali iliyopelekea wakazi wa jiji hilo kulalamika.
Hiki ni kituo cha mafuta cha BP Mbeya toka juzi wanasema hawana mafuta.Picha na-Mbeya yetu Blog

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Duh toka shingi 300 hadi Shingi 1000? Bongo tambarare

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...