WANANCHI wakipata  mahitaji ya  futari katika soko la Marikiti Darajani ndizi moja ya mkono wa tembo Sokoni hapo inauzwa shillingi 4000/=. 
Matunda nayo hayakamatiki kwa bei

WAKINAMAMA Wafanyabiashara katika soko la Mwanakwerekwe wakipanga viazi Sokoni hapo fungu moja shillingi 2000/=Pi cha na Othman Mapara

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...