Baraka Daudi akimpa pole mdogo wa marehemu,Juliet Samaka aliyefika Jumapili Aug 7,2011 kutokea Tanzania kuja kushughulikia maswala ya marehemu dada yake mpendwa,Macrina Samaka aliyefariki Jumamosi July 30,2011,Washington Hospital Center.
Juliet Samaka(shoto)akipewa mkono wa pole na mke wa Baraka Daudi,anaeitwa Mather(kulia) na kati ni Magrette Wahida.
Kutoka kushot na Mama Mkama aliyekuja kutoa rambi rambi zake,Juliet Samaka  na Magrette Wahida

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hobokela KajulaAugust 08, 2011

    Julieth Pole sana. Nilikua najiuza kama huyu ni dada yake Julieth Samaka au la. kwa hiyou leo nimejua ni kweli. Pole sana Julieth. Nakuombea Mungu akupe nguve wewe na familia yako.
    Rafiki yako.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...