Harambee Jumamosi Aug 6,2011
Macrina Samaka enzi ya uhai wake

Jumamosi Aug 6,2011 tutakua na HARAMBEE ya kusaidia kusafirisha mwili wa ndugu yetu,dada yetu marehemu Macrina Samaka saa 9 alasiri(3:00pm). itakayofanyikia nyumbani kwa Arthur Gao

4303 FRANKFORT DR,
ROCKVILLE,MD,20853

Kifo hakina mmoja leo Macrina,kesho ni mimi na wewe, mshikamano wako,umoja wetu na moyo wa upendo tuliokua nao kama Mtanzania unaejivunia Nchi yako na kila Mtanzania ni ndugu yako,chochote ulichokua nacho kitasaisia 

Gharama za kuusafirisha mwili kwenda Tanzania zinafikia $9,000.

kwa mawasiliano

Afisa Ubalozi,Abass Misana-202 378 8066
Rasheed Mkakile-240 938 3177
Arthur Gao-240 408 1422
Magrette Wahida-301 915 5821
Dj Luke Joe-301 661 6696
Malecela(New York)-914 473 1033
Boston(MA)
Juliana-413 330 3891
Abela- 781 913 2107
Suzie-617 306 1645
Houston,TX
Georges Assenga-713 894 9403

MWENYEZI MUNGU AMETOA,MWENYEZI MUNGU AMETWA NA JINA LAKE LIHIMIDIWE,
AMIN

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Mnaotoa message za msiba muwe wastaarabu na kuandika maelezo yanayotakiwa sio mnatoa maneno maneno yasioleweka, kwanza huko MD ndio wapi? tueleweshe vizuri, naomba tueleze dada yetu amefia wapi? na zinahitajika kiasi gani tumsindikize mpendwa wetu,

    ReplyDelete
  2. ujumbe si umefika lakini?? mbona malalamiko mengi!!! duh hata kwenye kufa pia??

    ReplyDelete
  3. Zimeshapatikana ngapi so far kwa hiyo ZIMEPELEA ngapi?

    ReplyDelete
  4. Poleni wafiwa kwa msiba wa huyu dada,pia shukrani kwa Arthur Gao na familia ya kwa kupokea msiba hapo nyumbani kwako. kama ilivyo tangazwa mwanzani wakati msiba umetokea kuwa huyu dada hana ndugu hapo MD na maeneo ya karibu. Ndugu ni wote bila kuzingatia wa damu au jamaa wa karibu.
    Tuko pamoja,
    Chicopee, Mass. USA.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...