Mkurugenzi wa Utetezi na Maboresho ya Sheria,Wakili Harold Sungusia akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati akitoa taarifa ya Kituo cha Sheria na Haki za Biandamu walipoitaka Serikali Kusitisha Uchimbaji wa madini ya Uranium nchini.Kushoto ni Mratibu wa Shughuli za Mazingira na Uwajibikaji wa Makampuni,Wakili Flaviana Charles.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Hivi sasa hivi wanachimba au wapo kwenye upembuzi yakinifu (feasibility studies)? naomba msaada wadau

    ReplyDelete
  2. Endelea na ukweli wamambo, "MADHARARA" ya hiyo kitu huku wanatafuta mahali pa kumwaga masalia "MABAKI" ya ZANA/MASHINE/VITENDEA KAZI VILIVYOPITWA NA WAKATI VYENYE "MIALI YA NYUKLIA". HATUJUI GHARAMA YA UHARIBIFU WA MAZINGIRA NA NI KWA NAMNA GANI/IPI TUTATUPA TAKATAKA ZAKE BILA KUHARIBU/KUTEKETEZA MAZINGIRA NA ITATUGHARIMU BILIONI NGAPI KUTUPA/KUTEKETEZA KISAYANSI HIZO TAKATAKA TU. TUNATAKA KUKIMBIA KABLA YA "KUTAMBAA NA KUTEMBEA".

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...