Edward Joseph Magongo (1977 – 1992)

Ilikuwa siku, wiki, mwezi na leo tarehe 24/08/2011 ni miaka kumi na tisa tangu ututoke na kurejea kwenye makazi ya usalama.

Tulikupenda sana ila Mungu alikupenda zaidi.

Unakumbukwa sana na wazazi wako Joseph na Clementina Magongo, Dada, kaka, wadogo zako, mashemeji, wajomba, ndugu jamaa na marafiki.

 Raha ya milele umpe ee Bwana, na mwanga wa milele umwangazie, apumzike kwa amani.
 AMINA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Ulitutoka ukiwa mdogo lakini Mungu alikupenda zaidi uncle. P.s. Greetings uncle Richard.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...