Angalizo: Wapenzi na wanachama wote wa Bwawa la Maini mnakumbushwa kukata/kulipia kadi zenu za uanachama wa klabu yetu pendwa, tayari kuipa sapoti msimu unaoanza kesho ambapo tunakipiga na Sunderland. Ankal keshafanya hivyo na yuko tayari kusaidia wengine wataokwama. Wasiliana naye haraka kwa kupitia email yake ya issamichuzi@gmail.com

YOU'LL NEVER WALK ALONE!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...