Ndugu Omary Mjenga, Mwakilishi Mkaazi wa UNOPS nchini Sierra Leone, alipomtembelea Balozi wa DRC Umoja wa Mataifa, New York Ndugu Atoki Ileka, kuzungumzia mkutano wa Bodi ya UNDP/UNFPA/UNOPS itakayokutana mwezi ujao New York. UNOPS imeteuliwa na Umoja wa Ulaya (EU) kusimamia waangalizi wa uchaguzi wa EU kwenye uchaguzi mkuu ujao wa DRC.
Home
Unlabelled
Ndugu Omary Mjenga akutana na Balozi wa DRC Umoja wa Mataifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...