Jumuiya ya Watanzania Uingereza leo wamejumuika  East  london katika msikiti wa Manor  Park  kuombea dua ndugu zetu waliotutangulia mbele ya haki katika ajali ya Meli pwani ya Nungwi huko Zanzibar. Hafla hii imeandaliwa na Zanzibar welfare  community kwa pamoja na East Africa Foundation. 
 Wanajumuiya kwenye hafla hiyo
Dua kwa waliotutangulia mbele ya haki na kuwaombea waliojeruhiwa wapate nafuu haraka. 
Picha na Ayoub Mzee

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...