Warembo wa Vodacom Miss Tanzania 2011 wakionyesha shoo yao usiku huu katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar,ikiwa ni siku ya kilele cha kumpata mrembo wa Tanzania mwaka huu.Fainali hizi zinaendelea hivi sasa katika ukumbi huu wa Mlimani City,Jijini Dar na Globu ya Jamii ipo eneo la tukio kuhakikisha kila kinachojiri ukumbini hapa kinapatikana katika Globu ya Jamii.
Home
Unlabelled
FAINALI ZA VODACOM MISS TANZANIA 2011 LEO @ MLIMANI CITY HALL
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Asante kwa kunibania Comment zangu kuhusu umuhimu wa mashindano haya,may be you dont want to upset your sponsors!
ReplyDeleteMichuzi oyee!!!