Ofisi inatoa pole kwa Mheshimiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, ndugu na jamaa wa wafiwa wote. Aidha, Ofisi inawaombea subira na kupona haraka wale wote waliojeruhiwa katika ajali hiyo.
Tunamuomba Mwenyezimungu mkarimu azilaze roho za marehemu waliotangulia mbele ya haki mahali pema peponi, Amin.
Inshallah familia zote zilopatwa na msiba huu nazo ziwe na moyo wa subira katika kipindi hichi kigumu.
INNA LILLAH WAINNA ILAIHI RA'AJIUN.
Imetolewa na;
Afisa mawasiliano
Ofisi ya Rais Fedha, Uchumi na Mipango ya Maendeleo
Skina Hamad Salum.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...