Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Jamani tusifanye mchezo na Mungu, siku atakayotunyooshea kidole tu bila ya hata kutoa adhabu basi sisi binadamu tutakuwa wapi?

    Tuwache kumsingizia Mungu kwa kila ajali ambayo sisi wenyewe ndiyo wasababishaji wakubwa.

    ReplyDelete
  2. Hii nimeipenda hii.... watanzania ndo tulivyo, kila uzembe wetu tunamtupia Mwenyezi Wetu bila hata aibu yani, tunamfanya yeye ni wa kubeba misalaba yetu yote, ni ujinga huu, i real wish huo mkono wa malaika ungetokea kweli kabisa yani maishani mwetu tukajua ujinga wetu.

    Mdau MJ
    India

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...