Rais Jakaya Kikwete akihutubia kwenye mkutano wa DICOTA
Rais Jakaya Kikwete akiwa amekaa na Balozi wa Tanzania,Nchini Marekani na
Mexico,Mh.Mwanaidi Maajar
Mexico,Mh.Mwanaidi Maajar
Rais
Jakaya Kikwete (kulia) akikagua wajasiriamali waliokuja kutoka Tanzania na sehemu mbali mbali
Marekani
Jakaya Kikwete (kulia) akikagua wajasiriamali waliokuja kutoka Tanzania na sehemu mbali mbali
Marekani
Rais Jakaya Kikwete akiongea na Wajasiliamali wa Nyumba poa kwenye ukumbi huo kunakofanyika mkutano wa DICOTA,Nyumba poa ni mradi wa kujenga nyumba Tanzania kwa bei nafuu kupitia mradi wa Watanzania walioishi hapa miaka mingi na kuamua kurudi nyumbani kusaidia Watanzania wenzao kujenga nyumba kwa masharti nafuu
Rais Jakaya Kikwete akiongea na wajasiliamali wanaoshughulika na maswala ya utalii
PICHA ZAIDI BAADAE
PICHA ZAIDI BAADAE


tulisema tutaandamana maandamano mbona hatuyaoni?unafiki mwingi wa nn hongera raisi wetu kazi yako inaonekana mungu akujalie
ReplyDeletewasio na shughuli ndo walitaka kuandamana
ReplyDeleteWaTZ walioko ughaibuni wakiweza kuwasaidia jamaa zao tu basi watakuwa wamechangia sana maendeleo ya TZ. Aidha, wale ambao wameshapata makaratasi wakijenga nyumba tu TZ basi watakuwa wamechangia maendeleo.
ReplyDeleteMdau
Ukerewe
Go Nyumba Poa!!
ReplyDeletewww.erklo.com