Kama mwanafunzi mtanzania ninaesoma hapa Korea, naomba kuungana na wenzangu wote ndani ya nchi yetu Tanzania na nje ya mipaka yetu katika kuomboleza na kutoa mkono wa pole kwa wale wote walioguswa na janga hili. 

kwa hakika ni msiba wetu sote Watanzania na tunawaombea makazi mema peponi waliokufa, na walionusurika Mungu awajaalie wapone haraka..

amin.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...