Wanafunzi kutoka India Bangalore tunaskitishwa sana na habari tulizozipata kuhusu ajali ya meli MV Spice Islander, japo kuwa tuko mbali lakini dua zenu na sala zetu zipo pamoja na waliotangulia mbele ya haki, Mungu azilaze roho zao pahali pema peponi na Mungu awape subra familia zilizopoteza watoto, wanawake na vijana wao na ;pia tunawatakia waliathirika wapate afweni haraka sana...
Ahsante sana
Uthman Yunus Turky


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...