moja kati ya makundi shiriki kwenye Shindano la kutafuta washindi kwenye shindano la Spriteslam litaloendelea kwa mara nyingine tena kwenye viwanja vya Leaders Club,jijini Dar hapo kesho.watakaonogesha mashindano hayo kwa upande wa burudani ni Roma Mkatoliki, C Pwaa lakini pia Bendi maarufu ya Twanga Pepeta itakuwa katika viwanja hivyo kwaajili ya kuendeleza burudani kwa washabiki mbalimbali watakaofika hapo.mnakaribishwa wote katika viwanja hivyo na kujionea burudani mbalimbali.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...