moja kati ya makundi shiriki kwenye Shindano la kutafuta washindi kwenye shindano la Spriteslam litaloendelea kwa mara nyingine tena kwenye viwanja vya Leaders Club,jijini Dar hapo kesho.watakaonogesha mashindano hayo kwa upande wa burudani ni Roma Mkatoliki, C Pwaa lakini pia Bendi maarufu ya Twanga Pepeta itakuwa katika viwanja hivyo kwaajili ya kuendeleza burudani kwa washabiki mbalimbali watakaofika hapo.mnakaribishwa wote katika viwanja hivyo na kujionea burudani mbalimbali.
Home
Unlabelled
Tamasha la Sprite kufanika kesho viwanja vya Leaders Club
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...