Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Makamo Mwenyekiti wa CCM Bara Pius Msekwa akiongoza ujumbe wa CCM uliofika Ikulu Mjini Zanzibar, kumpa pole kutokana na Msiba kwa wananchi waliofariki kwa ajali ya Meli ya Mv Spice Islander iliyozama Ijumaa wiki iliyopita huko Bahari ya Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja,ikielekea Pemba.
Picha na Ramadhan Othman Ikulu-Zanzibar

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...