Mabalozi Wadogo wa nchi kadhaa, marafiki wamefika katika Ubalozi Mdogo wa Tanzania mjini Dubai kuungana na Watanzania katika kuomboleza msiba wa kuzama kwa meli Spice Island huko Zanzibar.

Mjumbe wa Kamati (TAE) Bw. Rashid Suba akiweka saini kwenye kitabu cha maombolezo kwenye ubalozi wetu huko Falme za Nchi za Kiarabu

Sheikh  Muhiddin Abdulrahman akiweka saini katika kitabu hicho cha maombolezo



Balozi Mdogo wa Bangladesh
 Balozi Mdogo wa Tchad

Balozi Mdogo wa Pakistan
Balozi Mdogo wa Mozambique
Balozi Mdogo wa Angola

Balozi wa Yemen

Balozi Mdogo wa China
Balozi Mdogo wa Lebanon
Balozi Mdogo wa South Africa


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...