Kutoka kulia ni David Loserian, Gossaji Iddi Massoud na Louis Taguaba ambao ndio wataaalamu pekee wa kulipwa wa ukalimani hapa nchini ambao wanatoa huduma katika mikutano mbalimbali ya kimataifa wakiwa ni wataalamu wa lugha za Kiingereza, kifaransa, Kireno na Kispanish. 


Hapa wako AICC jijini Arusha wanakohudumia katika mkutano wa 21 wa wanachama na wadau wa PPF. Pamoja na ukalimani pia hutafsiri lugha hizo kwa Kiswahili.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. *UKALIMANI

    ReplyDelete
  2. wandugu wa michuzi, naona mna tatizo sala la kutumia RI panapohitaji LI....nimeandika maana nimeliona sana kwenye taarifa zenu.

    Kama hapa mnasema mkaRImani badala ya mkaLImani.

    Otherwise mko juu

    Mdau

    ReplyDelete
  3. Ukarimani ndio nini jamani mbona kila siku mnaharibu kiswahili ndani ya hii blogu.

    ReplyDelete
  4. Ukarimani ndio nini jamani mbona kila siku mnaharibu kiswahili ndani ya hii blogu.

    ReplyDelete
  5. ukaRimani au UKALIMANI?

    ReplyDelete
  6. pumbavu ati ukarimani. ukalimani

    ReplyDelete
  7. ukarimani ndio nini jamani? Yaani nimesoma habari yote mpaka mwisho sijaelewa, nimerudia ndo ikabidi nijilazimishe kuwa yaweza kuwa ni UKALIMANI, yaani kutafsiri lugha. Ankal naomba huku bloguni tuwe tunatumia kiswahili fasaha tafadhali. Najua hii utaiweka kapuni, lakini ujue unawaamini sana vijana, lakini kuna siku watakuangusha.

    ReplyDelete
  8. mkalimani ni traslator!!ni kiswahili hicho.

    so kama ww hujui kichina then ukienda china ukapata mtu akawa anakutamfiria from chinese to kiswahili basi huyo ndo tunamwita mkalimani.
    hope mmenipata kiaina japokuwa mi sio mwalimu wa kiswahili

    DAvid muni-Manchester.

    ReplyDelete
  9. Wewe David Muni nawe umezidi, kutamfiria ndiyo nini? Angalia usije ukamwaga tusi hadharani.

    Neno halisi ni KUTAFSIRIA linatokana na neno tafsiri.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...