Maana huku niliko leo hakuna umeme na wala netweki haipatikani.



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 14 mpaka sasa

  1. Mwosha huoshwa. Fergie kachezea kipigo cha mbwa mwizi leo, kala nusu dazani.

    ReplyDelete
  2. Man U amedhalilisha kwa kutandikwa 6 -1

    ReplyDelete
  3. Issa Michuzi !

    ReplyDelete
  4. sasa kama huna neiweki-Umepost vipi?

    ReplyDelete
  5. wameshindwa Man U

    ReplyDelete
  6. Man City thrashed and trashed in "trashford" 6:1 Man United

    ReplyDelete
  7. MAN U KAPIGWA SITA (6) KWA MOJA (1)

    ReplyDelete
  8. umepost vipi kama hakuna network
    any way
    MAN UTD 6 - 1 MAN CITY

    ReplyDelete
  9. Man.United ni kichaka kila goli wanagawana watu wawilila mwisho wanashare na lizevu wa golikipa.kutoka kwa Mohammed mjukuu wa mzee Sultan (MOJO,USA).

    ReplyDelete
  10. man utd 1 - man city 6

    ReplyDelete
  11. Arsenal ilipigwa nane wadau mbalimbali wakasema ni vitoto hivyo haviwezi kucheza na wakubwa (Man U), kwa mtaji huu Man U kufungwa kwao sijui tusemeje?

    ReplyDelete
  12. ukiona mwenzio ananyolewa nawe tia bichwa lako maji tayari kwa kunyolewa kama huamini muulize ALI BITEBO atakupa ukweli wa hii kauli kwani yeye anajua kanuni za kauli hiikwakuwa ni mla vichwa maarufu

    ReplyDelete
  13. Mbona Taifa Stars hatushabikii hivi? Tunapenda tu vya wenzetu!

    ReplyDelete
  14. Kocha wa Taifa Stars alikuwa likizo kwao wakati ligi inaendelea. Tulipopata mwaliko wa kwenda kombe la Nile alikuwa Denimaka. Wacha tuendelee kushabikia timu za mkoloni, Poulsen keshachafua hali ya hewa Taifa Stars na timu yake ya vijeba.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...