Kikosi cha Simba.
 Kikosi cha Ruvu shooting.
 Wachezaji wakisalimiana kabla ya mchezo.
 Juma Jabu akikontroo mpira ili amtoke beki wa timu ya Ruvu Shooting katika mchezo uliopigwa jioni ya leo katika uwanja wa Azam jijini Dar.Simba imeshinda bao 2-0 na kujikita kileleni moja kwa moja.
 Moja ya hekaheka zilizotokea katika lango la Ruvu Shooting
 Mshambuliaji wa pembeni wa timu ya Simba, Ulimboka Mwakingwe (shoto) akichuana na beki wa Ruvu Shooting, Paulo Ngalema katika mchezo uliochezwa jioni ya leo kwenye uwanja wa Azam huko Chamazi,jijini Dar.Simba imeshinda bao 2-0
 Mshambuliaji wa Simba Emmanuel Okwi akichuana na beki wa Ruvu Shooting, Idd Nyambiso.
 Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi chini wakati wa hekaheka za kuwania mpira na George Michael wa Ruvu Shooting katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom uliofanyika leo kwenye uwanja wa Azam,jijini Dar.
 Emmanuel Okwi akichuana na mabeki wa Ruvu Shooting.
 Boban akimiliki mpira.
Mashabiki wa simba wakichagiza ushindi leo katika dimba la Chamazi.
Vuvuzela hazikuwa nyuma.Picha na Francis Dande.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Simba taifa kubwa, mipango zaidi, yeboyebo byebye muhindi akiota ndoto mbaya tu mmeshuka daraja

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...