Baada ya takribani week moja kutokuwa hewani, site ya Bongo Star Link,sasa imerudi kwa jina lake la zamani ambalo lilikuwa likitumika kama www.djchoka.blospot.com.hii ni kutokana na matatizo ya domain ya jina la www.bongostarlink.com.


Wapenzi na mashabiki mnaombwa radhi  
kwa usumbufu wowote uliojitokeza kwa siku hizi kadhaa.
Shukrani,Dj Choka.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. bado haifunguki!

    ReplyDelete
  2. Mbona kafanana sana na MROKY a.k.a FADHA KIDEVU?

    Ni Kaka yake?

    ReplyDelete
  3. hana hela ya kulipia domain aseme ukweli tumchangie

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...