Wakazi wa Mkoa wa Iringa wanaofanya biashara ya uuzaji wa kinywaji maalum (pombe aina ya Ulanzi) ambayo inapendwa sana na wakazi wa mji huo,wakikokota baiskeli zao kupandisha kilima huku wakiwa wamepakia madumu yaliyoseheni pombe hiyo wakati wakitoka kuchukua katika vijiji vya jirani Iringa mjini ambako ndiko inakopatikana.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Ulasi munono mwe! Ndigita ndauli ndi muyenu na ihamu iyi?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...