Kutokana na hali ya mvua inayoendelea kunyesha jijini Dar hivi sasa na kuleta maafa na madhara makubwa kwa wakazi wa maeneo mbali mbali ya jijini kwa wingi wa maji yaliyofurika,imewalazimu madereva hawa bodaboda kuchukua uamuzi wa kuzipiga sopsop bodaboda zao kwa maji hayo hayo ambayo yalikuwa yamejaa kwa wingi maeneo ya katikati ya jiji leo kama walivyokutwa na Kameraman wa Globu ya Jamii.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...