Wadau wa Bilila Lodge iliyoko katika mbuga ya wanyama ya Serengeti wanatuma salamu za Krismas na Mwaka mpya kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki zao kuwatakia heri na fanaka katika sikukuu hizo.  Wanasema wao sikukuu hizo watazisikia redioni tu kwani libeneke la boxi ni mtindo mmoja. Vile vile wadau hawa walio katika kitengo cha uhasibu hotelini hapo wanatoa rambirambi kwa waliopatwa na maafa ya mafuriko jijini Dar na kwengineko Tanzania. Wanawatakia nafuu waliopata majeruhi na kupotelewa na makazi na mali zao.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. duh mnafanyaje kazi hapo wawape desk za kazi sio meza za kulia msosi

    ReplyDelete
  2. Hao jamaa wa mwanzo hapo wanafanana kinoma.Lazima wawe mapacha.

    ReplyDelete
  3. Aaah Bilila many greetings to Dahati!

    ReplyDelete
  4. Nakuona Mzee Chikoya... aka Ngwachiii...

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...